GRM 64.6
Injili Kama Ilivyofunuliwa Kwangu
Tafsiri inaendelea
Maelezo ya mandhari hii
GRM 64.6
Tafsiri inaendelea
GRM 64.7
Tafsiri inaendelea
GRM 65
Yesu anatoa mahubiri kwenye mashua ya Petro, akizungumzia mavuno ya masika. Anaweka somo lake kwa roho, akisema kwamba ukame wa Shetani unakuja, pamoja na upepo baridi wa dunia, dhoruba za tamaa, na kuchukizwa. Katika yote haya, uangalizi na uthabiti vinahitajika. Akionyesha mti wa tini katika bustani ya Petro, anaeleza kwamba mti umefanya kila liwezalo ili uishi na kutii mapenzi ya Mungu, na kwamba sisi pia, ni lazima tufanye vivyo hivyo, kwa kuwa sisi ni watoto wa Bwana.
Kristo anatutia moyo kutafuta Nguvu, Uzima na Nuru—na hivyo kumwja Kristo—na Anatusihi kutii Amri, hasa kumpenda.
Hubiri inapokwisha, Yesu huenda zizini kuvua samaki. Petro ana shaka lakini hutii. Kisha hufanyika uvuvi wa miujiza, na Simoni mwana wa Yona anaitikia kwa kusema kuwa yeye ni mwenye dhambi. Yesu anamwita amfuate. Kisha Petro huacha kila kitu, pamoja na Andrea, Yakobo na Yohana.
GRM 65.1-3
Tafsiri inaendelea
GRM 65.1
GRM 65.1
Tafsiri inaendelea
GRM 65.1
Tafsiri inaendelea
GRM 65.2-3
GRM 66.2
Tafsiri inaendelea
GRM 66.2
Tafsiri inaendelea